UZINDUZI WA ALBAM YA VIDEO, 'USIUTESE MOYO' YA SALOME NTALIMBO,...NSSF SHINYANGA
Uzinduzi wa Kanda ya Video ya Salome Ntalimbo inayoitwa 'USIUTESE
MOYO' ndani ya NSSF Shinyanga siku ya tarehe 29 mwezi wa 8. Kiingilio
watu wazima Sh 3000/= na watoto ni Sh 2000/=. Watu wote mnakaribishwa
tuje tuisapoti kazi ya Mtanzania mwenzetu ili kukuza uchumi wa Nchi yetu
ya Tanzania. Inua vipaji kuboresha uchumi wa Nchi.

Hakuna maoni